Kama kawa chama la wana likiwa ground basi nyuma yao wapo wana wa ukweli ambao kamwe kusaliti chama lao ni zaidi ya mmakonde kusema msumari baada ya kawaida aliyoizoea''nnchumali''picha lilianzia hapa hapa tawini upanga magaribi likaishia taifa

kama kawa wana wa tanga kigoma kiko njiani jioni ya leo kinazama tanga ila wana wa pangani kesho asubuhi tunakuja kulifungua tawi lenu kisha jioni tunaenda kuchukua pointi zetu tatu kisha tunarudi kileleni na kuziacha ndala kwenye nafasi waliyoizoea''nafasi ya nne''kwa hisani ya unyama unyamani aka chama la wana
No comments:
Post a Comment