Wednesday, June 12, 2013

MWANA WA WANA aka CHOLLO BOY AVAMIA WANACHAMA WA MPIRA NA MAENDELEO KUWASHUKURU


 mwenyekiti wa tawi la simba mpira na maendeleo kata ya upanga magharibi akishuhudia kijana akisema na mashabiki na wanachama wa simba yalipo makao makuu ya simba mtaa wa masimbazi
 chollo boy akizungumza na mashabiki na wanachama wa mnyama aka unyama unyamani chama la wana makao makuu ya club ya simba
 ngumi jiwe aka ngumi dongo katibu mkuu wa tawi la simba mpira na maendeleo akisikiliza kwa makini mbavu yake ya kulia ikitema cheche kwa mashabiki na wanachama wa chama la wana aka unyama unyamani aka simba sports club
 wanachama na wapenzi wa tawi la simba mpira na maendeleo wakisikiliza kwa umakini wa pekee
 kijana ni zaidi ya msikivu na muadilifu big up chollo boya aka mwana wa wana
 ha ha ha ha ha ha ha ha ha mjomba akasimamisha kuuza gahawaaa kwa muda kusikiliza nini mwana wa wana aka chollo boy anabonga
 maneno mazito toka kwa mwana wa wana yanawaingia kiasi watu wanasikilizia asee
 hawa ndio wenye simba yao asee
 ''jamani nyinyi wenyewe ni mashahidi mi nimegomea milioni thalathi za mafisadi nakuja kucheza mpira kwangu hela sio kitu''
 kijana akisikiliza nasaha za wazee wake

 wakubwa kwa wadogo walipata fulsa ya kuchangia mawazo kwa mwana wa wana aka chollo boy
 kama kawa kama ulidhani huku kuna wazee tu utakuwa umebugi mpaka makinda kama chama letu linavyoundwa
 kama hapa we unadhani hawa raiaa walikuwa wana waza nini?
 wakati wa kupata baraka kwa wazee wangu sasa
 niko peace na kila mmoja
 ''nimekuelewa mzeee wangu ntazingatia hilo we subiri uone uwanjani

 donee ya nauli kama kawa hapa ndo mpira na maendeleo asee
 kaka kila lakheri
 tuko pamoja kaka kulisukuma gurudumu la chama la wana
 kama kawa haina shida niko na watu wangu wa mpira na maendeleo nini tena?
 basi sawa haina tabu watu wangu wa ukweli











No comments:

Post a Comment