Monday, June 3, 2013

NEYMAR RASMI AMETUA KWENYE MILKI YA BARCELONA MORE THAN SIMPLE



Neymar amesema kuwa Cristiano Ronaldo alijaribu kumshawishi ili ajiunge na Real Madrid.


Mbrazilo huyo alilazimika kuisikiliza zaidi familia yake kabla ya kuamua kujiunga na Barcelona na anasema kucheza timu moja na nyota kama Lionel Messi kwake ni heshima.

Neymar ametanabaisha kuwa Cristiano Ronaldo, Kaka na Marcelo walimshawishi sana ili ajiunge na Real Madrid msimu wa kiangazi kabla ya jaribio lao kushindikana.
Amenukuliwa akisema 

"Ronaldo, Kaka, Marcelo... Lots of people said I should sign for Real," Neymar told Marca. "But, in the end, I made a decision, which I discussed a lot with my family, and I'm very happy with the path I've chosen to play in Europe."
Klabu ya Barcelona imemtambulisha rasmi mshambuliaji wake mpya, Neymar ambaye ametua klabuni hapo kwa mara ya kwanza kwa ajili ya kuanza kuitumikia timu hiyo.

No comments:

Post a Comment