Wednesday, May 15, 2013

CHELSEA YATWAA EUROPA LEAGUE, BENITEZ RAHA MPAKA SANA HUKU MASHABIKI WAKIMTAKA MOURINHO


Champions: Chelsea lift the Europa League after beating Benfica in the final in Amsterdam
Mabingwa: Chelsea wakiwa na mwali wao wa Europa League Uwanja wa Amsterdam
On the continent: Chelsea added the Europa League to their Champions League success last year
Kutoka Ligi ya Mabingwa hadi...
Boss: Rafa Benitez smiles as he lifts the Europa League trophy in Amsterdam
Bosi: Rafa Benitez akitabasamu wakati akiinua taji la Europa League Uwanja wa Amsterdam
Smiles: Frank Lampard gets his hands on the prize
Tabasamu: Frank Lampard 
Safe hands: Petr Cech lifts the trophy
Mikono salama: Petr Cech 

IMEWEKWA MEI 15, 2013 SAA 5:55 USIKU
BAO la Branislav Ivanovic dakika ya pili ya muda wa nyongeza kati ya tatu baada ya kutimu dakika 90 za kawaida, usiku huu limeipa Cheslea Kombe la Europa League baada ya kuilaza Benfica ya Ureno mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Amsterdam Arena.
Beki huyo wa Serbia, alipaa hewani kwenda kuufuata mpira wa kona uliopigwa na  Juan Mata na kuujaza nyavuni.
WHAM, BAM, THANK YOU BRAN ... Ivanovic wins it for Chelsea
Ivanovic akifunga bao la pili na la ushindi
Mapema, The Blues walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia kwa Fernando Torres dakika ya 60 kabla ya  Oscar Cardozo kuisawazishia Benfica kwa penalti dakika ya 68.

Katika mchezo huo, kikosi cha Chelsea kilikuwa: Cech, Azpilicueta, Ivanovic, Cahill, Cole, Lampard, Luiz, Ramires, Mata, Oscar na Torres.
Benfica: Artur Moraes, Almeida, Luisao, Garay, Melgarejo, Perez, Matic, Rodrigo, Gaitan, Cardozo, Salvio.
TORRN APART ... Fernando Torres gives Chelsea the lead
Torres akimpiga chenga kipa wa Benfica kabla ya kufunga bao la kwanza

TORRMINATOR ... the Chelsea striker celebrates his opener
Torres akishangilia
Match winner: Branislav Ivanovic scored Chelsea's winner in injury time
Match winner: Branislav Ivanovic scored Chelsea's winner in injury time
Pati la ubingwa: Branislav Ivanovic akipongezwa na wenzake
No way through: Chelsea's Ramires is tackled by Benfica's Lorenzo Melgarejo
Ramires wa Chelsea akikabiliana na Lorenzo Melgarejo wa Benfica
Three of the best: Eusebio, Michel Platini and Johan Cruyff watch on from the Amsterdam ArenA
Magwiji watatu: Eusebio, Michel Platini na Johan Cruyff wakiangalia mechi hiyo Amsterdam Arena
Final touches: Patrick Kluivert parades the Europa League trophy during the opening ceremony before the teams made their way out on to the pitch
Gwiji na mwali: Patrick Kluivert akiwasilisha Kombe la Europa uwanjani
Face full: Benfica's Rodrigo brushes Cesar Azpilicueta aside with a strong hand off
Mbata: Rodrigo wa Benfica akimpa mbata Cesar Azpilicueta wa Chelsea
No luck: Torres appeals for a penalty, but his shout was turned down by the referee
Haikuwa bahati: Torres alichezewa rafu ya penalti, lakini refa akapeta
We want Mourinho: Chelsea fans make their feelings clear as to who they want as their next manager
Tunamtaka Mourinho: Mashabiki wa Chelsea waliwasilisha hisia zao leo juu ya kocha atakayerithi mikoba Rafa Benitez

No comments:

Post a Comment