Tuesday, May 14, 2013

SAFARI YA SIMBA KUELEKEA KWENYE MCHEZO WA JUMAMOSI DHIDI YA YANGA HII HAPA.


KOcha Mkuu wa Simba akikinowa Kikosi chake katika Kisiwa cha Marashi ya Karafuu kwa ajili ya mechi yao na timu ya Yanga unaotarajiwa kufanyika jumamosi 18-5-2013 mjini Dar, Kikosi hicho kikiwa kimejichimbia Kisiwani huko na kufanya mazoezi yao katika Uwanja wa Mao Zenj.Kama anavyoonekana akitowa mafunzo kwa kikosi chake.

No comments:

Post a Comment