kwa hisani ya bin zubeiry blog
![]() |
Wachezaji wa Simba SC wakiwa mazoezini jioni ya leo kwenye Uwanja wa Mao Dze Tung, Zanzibar kujiandaa na mchezo dhidi ya mahasimu wao wa jadi, Yanga SC Jumamosi wiki Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. |
![]() |
Mussa Mudde anamiliki mpira |
![]() |
Nassor Masoud 'Chollo' kulia |
![]() |
Mwinyi Kazimoto akimiliki mpira katikati ya Shomary Kapombe na Haruna Shamte. Kulia Mrisho Ngassa na Jonas Mkude |
![]() |
Kocha Mfaransa Patrick Liewig akiongoza vijana |
![]() |
Jalamba lilinoga leo Mao |
![]() |
Juma Kaseja yuko fiti |
![]() |
Abbel Dhaira yuko fiti pia |
![]() | |||
Hata Abuu Hashim anaweza kuanza pia Jumamosi |
No comments:
Post a Comment