Thursday, May 16, 2013

WAKATI WAYNE ROONEY AKIJIBURUDISHA NA GOLF,DAVID BECKHAM AAMUA KUACHANA NA SOKA BAADA YA MIAKA 21 YA KUTUMIKA UWANJANI


MSHAMBULIAJI Wayne Rooney aliyekuwa katika wiki ngumu, ameishia kwenda kujiliwaza katika viwanja vya gofu na mchezaji mwenzake wa Manchester United, Johnny Evans.
Huku tetesi zikiwa zimeenea kwamba ataondoka na kuhamia Chelsea, Paris,au Madrid, Rooney alikwenda kutuliza kichwa yake katika gofu.
Stick your bum out Wayne! Rooney has some peculiarities with his stance
Rooney katika gofu
Under-hit: Rooney didn't quite reach the green, leaving a delicate chip
Bugged: A penny for Rooney's thoughts currently
'WR10', jezi anayovaa Manchester United.
Rooney hakuvaa jezi uwanjani wakati United inapokea taji la ubingwa wa Ligi Kuu kufuatia ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea 2-1 Jumapili iliyopita.
Kuna wasiwasi baada ya kukosa nafasi ya kucheza katika mechi ya mwisho ya Sir Alex Ferguson kama kocha United, huenda asipate nafasi nyingine tena ya kutinga uzi wa Mashetani hao Wekundu.
WR10! Rooney's personalised golf bag
WR10! Rooney na begi lake la gofu
Power: Rooney watches on as Johnny Evans hits a drive
Nguvu: Rooney akimuangalia Johnny Evans akipiga kipira cha gofu
Fore right: Beware on the next fairway
Wet and windy: Alex Ferguson at the Dante Stakes Day at York
Alex Ferguson akiwa Dante Stakes Day huko York
Ferguson
Famous face: Paul Scholes watching the races

KIUNGO David Beckham amesstaafu soka akiwa na umri wa miaka 38, uamuzi ambao ameutangaza rasmi leo.
Nahodha huyo wa zamani wa England, anayekwenda kwa jina la utani 'Mipira ya Dhahabu', atatungika daluga zake baada ya kunyanyua taji lingine la ligi ya Ufaransa akiwa na Paris St Germain.
Beckham ameamua kustaafu na sasa ataelekeza muda wake mwingi kwa mkewe Victoria na watoto wake wanne, mdogo kabisa ni Harper, mwenye miezi 21 tangu kuzaliwa.
Beckham amesema katika taarifa yake iliyoifikia BIN ZUBEIRY leo kwamba: "Nawashukuru PSG kwa kunipa nafasi ya kuendelea, lakini nafikiri sasa ni wakati mwafaka kumaliza, nimecheza katika kiwango cha juu,".
Emotional: David Beckham says in an interview that he thinks the time is right to retire from football after 21 years
Hisia: David Beckham akizungumzia kustaafu kwake soka baada ya miaka 21 End of an era: His voice cracking, Beckham said 'I just feel it is the right time to go'
Mwisho wa zama: Beckham amesema; "Naupenda sana mchezo - Nafikiri na wakati mwafaka kuondoka'
Curtain call: David Beckham, pictured at the Paris Saint Germain training ground today, announced he is retiring from football after a 21-year career
Curtain call: David Beckham, pictured at the Paris Saint Germain training ground today, announced he is retiring from football after a 21-year career
Mtu wa wakati: David Beckham, katika picha aliyopigwa akiwa kwenye viwanja vya mazoezi vya Paris Saint Germain leo akitangaza kustaafu

No comments:

Post a Comment