![]() |
Hard work, this rehab lark: Smalling's making sure he keeps his feet up after a long season. |
Mlinzi
wa kati wa Manchester United Chris Smalling amekuwa akiendelea kuponya
kidonda chake cha baaba ya upasuaji wa mguu wa mguu wake wa kulia akiwa
katika pwani ya Barbados fakipunga upepo wa pwani wenye joto akiwa na
mpenzzi wake Sam Cooke.
Akiwa
ameongozana na mpenzi wake huyo katika mapumziko ya kumaliza wiki
amekuwa akijitahidi kufanya mazoezi madogo madogo kulinda uzito wake na
kuimarisha mguu huo.
Mlinzi huyo anatarajiwa kuwa sawa katika kipindi cha matayarisho ya kuanza msimu mpya.
Meneja
mpya wa Manchester United David Moyes atakuwa na kazi ya kujenga timu
mpya itakayokuwa na vipaji vichanga kama ilivyo kwa wachezaji kama
Smalling,
Phil Jones na Tom Cleverley.

Helping hand: Chris Smalling's girlfriend Sam Cooke helps him keep his weight off of his injury
Smalling
mwenye umri wa miaka 23, pia atakosekana katika kikosi cha timu ya
taifa ya England kitakachokuwa na mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi
ya Jamhuri ya Ireland lakini pia katika safari ya kuelekea nchini Brazil
kufuatia kuaendelea kuuguza mguu wake.
Bosi wa England Roy Hodgoson amekaririwa kisema
‘Sasa ndio fursa kwakuwa Smalling na Jones kama ilivyo kwa wastaafu Rio Ferdinand na John Terry waliostaafu soka la kimataifa.
'Wamepata
nafasi, jambo ambalo ni muhimu. Rio na John wamefanya kazi nzuri sana
kwa kipindi chote. Sasa wameondoka ni jukumu kwa vijana hawa kutazama
mbele.

Chris
Smalling akimtazama kwa nyuma mpenzi wake Sam Cooke akitembea kutafuta
viburudisho katika pwani ya Barbados Jumapili ya jana.





Smalling na mpenzi wake Sam wakiwa majini.




The high life: Martin Skrtel and wife Barbora take it easy on Miami beach

Going for a stroll: Mind that foot though, Martin
No comments:
Post a Comment